Browsing Department of Kiswahili & Other African Languages by Title
Now showing items 15-34 of 35
-
Mabadiliko katika Umbo la Ushairi na Athari zake katika Ushairi wa Kiswahili
(Academic Journals, 2008)Mwanadamu amejaribu kwa vyovyote vile kuvumbua na kunyumbua mambo mapya ambayo yataleta mvuto na kupimia akili yake kiubunifu katika hali ya kutaka kutangamana zaidi na binadamu mwenzake au kutaka kuelewa zaidi ulimwengu ... -
Matumizi ya Maigizo Kama Mbinu ya Kufundisha Tamthilia Katika Shule za Upili, Kaunti ya Bungoma Kusini, Kenya
(East African Journal of Swahili Studies, 2019)Utafiti huu ulilenga kuonyesha matumizi ya maigizo kama mbinu ya kufundisha tamthilia; mfano wa Kigogo katika shule za upili, Kaunti ya Bungoma Kusini. Ufundishaji wa somo lolote hujikita kwenye mawasiliano baina ya ... -
Metaphoric conceptualization of International Criminal Court justice and peace building in Kenya
(Academic Journals, 2018)In this paper, the metaphoric conceptualization of the International Criminal Court (ICC) indictment discourse in Kenya is examined through a data-driven analysis. Much scholarly writing on the ICC intervention in Kenya ... -
Mifumo ya Kijamii katika Tamthilia Teule za Kiswahili
(2020)Mifumo ya kijamii inajitokeza waziwazi katika fasihi andishi ya Kiswahili. Mifumo hiyo huwakilisha matukio ya fasihi andishi na jinsi yanavyoichora na kwa mapana kuwa kioo cha jamii. Tafiti nyingi zilizofanywa zinahusu ... -
Mitindo ya Lugha Inayomsawiri Mwanamke Kiongozi katika Tamthilia za Pango (2003) na Kigogo (2016)
(University of Dar es salaam, 2021)Tafiti nyingi zilizofanywa kumhusu mhusika mwanamke katika tamthilia za Kiswahili zilimsawiri mwanamke kwa ujumla bila kuangazia uongozi wake. Chache zilizoshughulikia mwanamke kiongozi zimefanya hivi bila kuangazia mitindo ... -
Mitindo ya Lugha Inayowabainisha Wahusika Wazimu katika Riwaya za Habwe
(EASTAFRICAN NATURE& SCIENCE ORGANIZATION, 2023-07-31)Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni zinaonyesha ongezeko la idadi ya wazimu katika jamii duniani kote (Kovacevic, 2021). Waandishi wa fasihi wamewaumba wahusika wazimu wakiakisi mazingira wanamoishi. Tangu jadi wahakiki ... -
Mwanamke angali tata katika ushairi wa kisasa?
(Academic Journals, 2011)Sanaa ya ushairi inajisawiri kama nyenzo muhimu katika maendeleo na ukuaji wa binadamu ulimwenguni. Mtunzi wa ushairi hupata ilhamu na tajriba zake kutokana na mitagusana na mivutano ya mijadala ya kimaendeleo inayotokea ... -
Nafasi ya Fasihi Katika Kuwasilisha Masuala ya Mazingira Kupitia Riwaya Teule Tikitimaji (2013) na Msimu wa Vipepeo (2006) za KW Wamitila
(East African Journal of Swahili Studies, 2020)Suala la mabadiliko ya hali ya anga ni janga linaloendelea kukumba ulimwengu kwa jumla. Kutokuwepo kwa usawazishaji wa ekolojia ni jambo ambalo linawatia shaka adinasi wengi. Fasihi ni kioo cha jamii na inapaswa kuwasilisha ... -
Nafasi ya Ikolojia ya Lugha katika Mtagusano wa Kiswahili na Kibukusu katika Mawanda ya Dini katika Kaunti ya Bungoma
(EAST AFRICANNATURE & SCIENCEORGANIZATION, 2023-03-27)Nyanja mbalimbali katika jamii hutegemea matumizi ya lugha. Hali hii huzua changamoto ya namna ya kutumia raslimali za lugha zinazopatikana katika jamiilugha fulani. Juhudi ya kufahamu na kutagusana na ulimwengu huhitaji ... -
Peace Through Devolution for Sustainable Development: The Kenyan Case
(Maseno University, 2014)Good governance is a key pillar to sustainable development of any nation. Many conflicts in Africa can be traced to failure in governance, responsible and accountable management as well as failure to cultivate cultures of ... -
Phonemic Representation and Transcription for Speech to Text Applications for Under-resourced Indigenous African Languages: The Case of Kiswahili
(Arxiv.org, 2022)Building automatic speech recognition (ASR) systems is a challenging task, especially for under resourced languages that need to construct corpora nearly from scratch and lack sufficient training data. It has emerged ... -
Rhetorical questions as an off-record politeness strategy in language use among the Bukusu.
(Royallite Global, Kenya., 2021)This paper sought to discuss rhetorical questions as an off- record politeness strategy with the aim of determining the context and reasons for their use in communication. It focused on language use amongst users of Bukusu ... -
A study of terrorism discourse in taifaleo newspaper of Kenya
(MCSER-CEMAS-Sapienza University of Rome, 2021)Terrorism is a global concern and usually elicits a lot of sensationalism every time it occurs. The media often finds itself in the middle of debates over this issue. Apart from the role of informing the public, the media ... -
Teachers’ and Students’ Perceptions of Kiswahili Classroom Learning Conditions in Secondary Schools in Kakamega North Sub-County, Kenya
(Scholars Journal of Arts, Humanities and Social Sciences, 2014)Abstract: The classroom learning conditions embodies more than physical environment. However, researchers have overly focused on the physical classroom learning environment leaving out other conditions of learning. This ... -
Teaching styles and learners’ achievement in Kiswahili language in secondary schools
(International Journal of Academic Research in Progressive Education and Development, 2012)Effective use of learning strategies can greatly improve learners’ achievement. In Hamisi District in Kenya, secondary school students have continued to attain poor results in Kiswahili subject in the Kenya Certificate of ... -
Uamilifu wa Kiswahili na Kibukusu katika Mawanda ya Kimatumizi kwenye Kaunti ya Bungoma
(Jarida la Afrika Mashariki la Masomo ya Kiswahili, 2022)Lugha ni chombo maalum katika ustawishaji na uimarishaji wa rasilimali za mwanadamu. Pia, ni wenzo unaohimili sera ambazo hulenga katika kutimiza matarajio ya kitaifa katika nchi yoyote ile. Nchini Kenya, vipengele katika ... -
Uchanganuzi wa Athari ya Mageuzi ya Maneno kwenye Muundo wa Sentensi ya Ekegusii
(East African Journal of Swahili Studies, 2019)Tasnifu hii inachanganua athari ya mageuzi ya maneno kwenye muundo wa sentensi sahili ya Ekegusii ikiangazia sheria na kanuni zinazotawala mageuzi hayo. Mageuzi ya kisintaksia huleta mabadiliko mengi katika sentensi asili. ... -
UCHANGANUZI WA HIPONIMIA ZA VITENZI VYA KISWAHILI.
(Swahili Forum, 2016)Hiponimia ni uhusiano wa kifahiwa unaodhihirika baina ya leksimu ya jumla (hipanimu) na mahususi (hiponimu). Kama vile hipanimu mzazi hujumuisha hiponimu baba na mama. Uhusiano huu wa kihi-ponimia ulidhukuriwa na wanaisimu ... -
Unpacking the concepts of stability, democracy and rights
(Academic Journals, 2018)This article prepares the ground for contributions included in the special issue by unpacking the concepts of stability, democracy and rights, which are included in the overall theme. It is concerned with how these concepts ... -
The usage of Kiswahili in blog discourse and the effect on its development
(International Journal of Humanities and Social Science, 2013)Online communication is rapidly changing how language is being used. With the increasing number of social networks people are engaging in various discourses using various languages. Kiswahili is one of the languages being ...