Search
Now showing items 1-2 of 2
Nafasi ya Ikolojia ya Lugha katika Mtagusano wa Kiswahili na Kibukusu katika Mawanda ya Dini katika Kaunti ya Bungoma
(EAST AFRICANNATURE & SCIENCEORGANIZATION, 2023-03-27)
Nyanja mbalimbali katika jamii hutegemea matumizi ya lugha. Hali hii huzua changamoto ya namna ya kutumia raslimali za lugha zinazopatikana katika jamiilugha fulani. Juhudi ya kufahamu na kutagusana na ulimwengu huhitaji ...
Mitindo ya Lugha Inayowabainisha Wahusika Wazimu katika Riwaya za Habwe
(EASTAFRICAN NATURE& SCIENCE ORGANIZATION, 2023-07-31)
Takwimu za Shirika la Afya Ulimwenguni zinaonyesha ongezeko la idadi ya wazimu katika jamii duniani kote (Kovacevic, 2021). Waandishi wa fasihi wamewaumba wahusika wazimu wakiakisi mazingira wanamoishi. Tangu jadi wahakiki ...