8. Simbi, I., Wasike, M., Amukowa, D., & Masinde, E (East African Journal of Swahili Studies, 2019)
Utafiti huu ulilenga kuonyesha matumizi ya maigizo kama mbinu ya kufundisha
tamthilia; mfano wa Kigogo katika shule za upili, Kaunti ya Bungoma Kusini.
Ufundishaji wa somo lolote hujikita kwenye mawasiliano baina ya ...