Show simple item record

dc.contributor.authorBENARD ODOYO OKAL
dc.date.accessioned2020-11-30T08:18:10Z
dc.date.available2020-11-30T08:18:10Z
dc.date.issued2017
dc.identifier.urihttps://repository.maseno.ac.ke/handle/123456789/3067
dc.description.abstractHivi sasa lugha ya Kiswahili inadhukuriwa sio tu kama lugha ya wanajamii wa Afrika Mashariki na Kati pekee bali ni miongoni mwa zile lugha kubwa za ulimwengu na ambazo hutumiwa katika shughuli mbalimbali za binadamu. Hata hivyo, tafiti nyingi zingali zinahitajika ili kukiboresha katika mawasiliano, uwanja wa leksikografia na hata masuala ya tafsiri na onomastiki. Lugha ya Kiswahili inafaa kuchangiwa kwa namna moja au nyingine katika masuala kadha ili iweze kusimama kama lugha inayokua sio katika sarufi peke yake bali pia katika uzalishaji wa taaluma nyingine zinazoweza kufunzwa kwa kutumia lugha ya Kiswahili. Taaluma mojawapo ni ile ya tafsiri na onomastiki ambazo sasa zimeanza kukwea milima na kuelekea kudhukuriwa kama taaluma muhimu kwa wanaisimu na hasa wa Kiswahili. Hivyo basi, makala haya yamechunguza nafasi ya taaluma tafsiri na jinsi inavyochangia mafunzo na tafsiri katika taaluma ya onomastiki.en_US
dc.publisherJournal of the Institute of Kiswahili Research, Dar Es Salaamen_US
dc.titleNAFASI YA TAFSIRI KATIKA TAALUMA YA ONOMASTIKI: UHAKIKI WA MBINU ZAKE KATIKA TAFSIRI YA TOPONOMASTIKIen_US
dc.typeArticleen_US


Files in this item

Thumbnail

This item appears in the following Collection(s)

Show simple item record